Recent content by kijana paul

  1. K

    utata:

    kwa st joseph fungua account exim bank...huko ndo kila kitu utaekewa..
  2. K

    utata:

    nimekupm mkuu
  3. K

    utata:

    ase muhindi ana masihara na pesaa yake...ukiwa ja pesa utasoma kwa amani...ukiwa na mkopo kidgo inakuaa nafuu
  4. K

    utata:

    yeah workshop zipo na zina vifaa
  5. K

    St. Joseph Collage Of Engineering

    karibuni chuoni wakuu
  6. K

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    ada ni sh 3,030,400 kwa engineering...ada hii ni tofaut na waliochaguliwa education...food processing and agriculture engineering....uwezekano wa kupata mkopo upo...ila ata ukipata asilimia mia ni kma umelipiwa 1,500,000 kwhyo chukua difference hapo ndo utakayoongezea....bdo kuna ada za mitihan...
  7. K

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    yeah ni lazima kwa kila mwanachuo...ili mkifika msihangaike
  8. K

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    kingine cha kuwasaidia..fungueni account exim bank...maana boom,special faculty na kila kitu wanawawekea kupitia account za exim bank
  9. K

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    hostel zipo kwa wote..ila sio za chuo ni za watu binafsi..japokua kuna hostel ya wasichana inayosimamiwa na masista wa hapo chuoni...ipo kibamba na cjui gharama zake
  10. K

    Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na St. Joseph University (undergraduate)

    unapanga kwenye hostel za watu binafsi ambazo ziko around chuo
  11. K

    Msaada: Mwenye Ufahamu St Josepd Dar es Salaam

    price inategemea na chumba unachotaka...zuko kuanzia 40,000...haziko mbali na chuo
  12. K

    Msaada: Mwenye Ufahamu St Josepd Dar es Salaam

    hostel zipo ila sio za chuo...ni za watu binafsi...
Back
Top Bottom