Mimi ni kijana ninahangaika kutafuta riziki kila siku, naomba kujua kama biashara ya nguo za mtumba ina faida? Namaanisha kununua belo na kuuza mojamoja.
Msaada please
Habari,
Juzi nilienda gym na nikapiga chuma Sana kwa kiasi fulani, lakin Jana na Leo nimeshindwa kwenda kutokana na maumivu ya mikono sehemu ya gimbi na Kwenye viungio,Na mkono wa kushoto ni kama umevimba kwa mbaali, Nilikuwa nauliza hii hali ni kawaida au ? Na insababishwa na nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.