Ni bora kuishi kwa kupendana na kujaliana hata bila upinzani, kuliko kuwa na wapinzani ambao kila kukicha mara wapigwe risasi, wateswe na wananchi kuuawa na kuwekwa kwenye viroba
Afadhali aendelee huyu huyu mama. Ni bora kuishi kwa upendo miongoni mwetu hata bila upinzani kuliko kuwa na wapinzani wanaopigwa risasi na na wananchi kuuawa kila kukicha na kuwekwa kwenye viroba.
Tuchukue kwa mfano nyote mnajua baba wa nyumb hiyo yupo lakini ukasikia kwamba ile nyumba haina baba, kisha mtoa hoja akaeleza sifa stahiki za baba mwenye nyumba, hapo wewe unaelewaje?
Mheshimiwa Rais, pamoja na nia yako hiyo njema ya kukabidhi hayo magari kwa taasisi za serikali, najua kwa sehemu kubwa hayo magari yatatumika na viongozi wa taasisi hizo.
Naomba uangalie kwa jicho la pekee kwa upande wa UONGOZI wa Taasisi hizi za Serikali na Mashirika ya Umma. Taasisi za...
Hii kesi ikifutwa tutakosa tuyajua mengi sana! Kesi hii imeiumbua serikali kwamba inafanya mambo kienyeji sana! Jeshi la Polisi limeoza. Na wanataka kuambukiza uozo huo kwa JWTZ.
Kama isingekuwa akina Mbowe wanateseka sana kiasi cha kunyimwa chakula nilitamani zamu ya kuleta mashahidi wa...
Halafu mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuleta hawa Polisi maana wote wanasema kitu kilekile tu. Ushahidi kwangu uliishia kwa Urio. Hawa wengine ni hear says tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.