Imeonekana kuna ARI ZAIDI ya kuchakachua demokrasia ya wananchi,NGUVU ZAIDI kama inavyotumiwa sasa na vyombo vya dola,KASI ZAIDI ya wizi na ufisadi.Mwanjelwa Mahakama ipi hiyo wakati ushindi wa Rais haupingwi mahakamani.Watu mitaani washachoka na ubabaishaji ,mtu asikwambie eti upinzani utaleta...
Huko iringa mjini nasikia siku ya kufunga kampeni walikodi daladala karibu zote za pale mjini pamoja na magari mengine kwa ajili ya kusomba watu toka vijijini kuwapeleka mwembetogwa uwanjani lakini haikuwasaidia mwisho wa yote ni mgombea fulani kulazwa hosipitali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.