''Uhalisia ni kwamba kuna mtu amehesabiwa ni mtalii lakini alikuja pale Mwang'ola (Karatu) kuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii."
Bila shaka hiyo mistari imejieleza vizuri..........Kwa kuwa yeye ni Mbunge wa maeneo yale, anajua ukweli kuliko sisi wa mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.