Recent content by Kigera Kwetu

  1. K

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Tangu ujue neno......useless ni tabu mjini :D
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Chatanda ikemewe, imeonesha dharau kwa Mwenyekiti wa CCM

    Huyo kila kitu yeye anajifanya anajua zaidi ya wote...... :D
  3. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    acha upotoshaji useless wa kindezi hivyo gentleman, :ABDULpls:
  4. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Mkuu naona leo umekasirika na kutoka nje ya mada... Kumbe hata wewe unakasirika :D :D
  5. K

    JamiiForums Tanzania Joshua Nassari: Wizara inasema Watalii wamefikia Milioni 5.3, Mtu anakuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii

    ''Uhalisia ni kwamba kuna mtu amehesabiwa ni mtalii lakini alikuja pale Mwang'ola (Karatu) kuja kununua vitunguu kutoka Kenya, naye anaambiwa ni mtalii." Bila shaka hiyo mistari imejieleza vizuri..........Kwa kuwa yeye ni Mbunge wa maeneo yale, anajua ukweli kuliko sisi wa mbali.
  6. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Si kweli Vurugu za Oktoba 29 zilisababishwa na 'Gen Z' ni sababu za Wazee kushindwa kuwajibika

    Kwa hiyo wewe tu ndio msema kweli kwa Taifa letu?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kama mzee Joseph Sinde Warioba anafanyiwa ushenzi huu wa vitisho, Je sisi kwangu kukavu weka mchuzi lazima tufe sana as it is today!

    Wewe upo jikoni....najua unajua kila kitu....hao wadau wapo mbali sana :D :D
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

    Tlaatlaah.......hapa awezi pita.... :D
Back
Top Bottom