Ebu elezea na jinsi Mbowe na Mnyika walivyomtoa mahabusu Nusrat Hanje
usiku usiku na kumsafirisha toka Singida hadi Dodoma kwenda kuapishwa na Ndungai gereji.
Kwa nini unajitoa ufahamu?.
Mnawasubiri wapinzani wawasaidie kwa sababu ipi,wakati kila siku mnawananga,na kura hamuwapi.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga. Sio kazi Tanga mshahara Dar.
Hivi yeyote anayemtukana Magufuli ni mfuasi wa Chadema?.
Kuna wafuasi wa vyama tofauti tofauti humu,hivi unawatofautishaje?.
Kwa sababu hata wafuasi wa CCM sio wote walifurahishwa na Magufuli,kama ambavyo wapo wanaomnanga Samia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.