Yani mtu anaandika ujinga kama huu afu anajiona mjanja anazani urusi nikama Tz au afghanistan ss raia wanaoteseka ni wwpi maana ukrine ukitembea ni bomu ukikumbatia mkeo bom yale majengo tunayoona kwenye movi ndo yapo ukrine wacha wachapwe sana tu kenge hao
Yani ww hizo post zako za ndoa ya jinsia moja nizakijinga sana kila siku wenzio wanakula kichapo wanagombaniana mashimo kama panya hapo kiev bwege ww mtoa post
Uzuri vita inapiganiwa ukrine na nakutahadharisha mtoa mada ukiona nyoka anakimbilia shimoni muache huwa anatabia ya kukiacha kichwa chake mdomoni mwa shimo mwili unardi ndani usije jifanya unataka kumshika mkia utajuta subiri mwisho uone kitachotokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.