ndugu yangu hiz ni zama za digitali vitu vyote vinafanyika hospital,sio lazma niandike kila kitu.zamani ilikua mpaka utembee na mwanamke ndo ujue anazaa au hazai, siku hiz vipimo vipo
ndoa ndo kwanza itatangazwa kwa mara ya kwanza j.pil ijayo, swala la tarehe sio la kukurupuka coz kamati ndo wanapanga kila kitu na hilo halina shida.kwa sasa namalizia mitiani yangu ya UE, nitapata muda wa kukaa jf na kudirect baadh ya mambo.
nakufahamu toka ukiwa AICC ndugu yangu,labda kama...
yap nafikiri amepata muda wa kunifuatilia coz anawafaham ndugu jamaa na marafiki wanaoweza kumueleza mimi ni nani? Labda kitu kimoja watu waelewe sijawah kuwa na mwanamke kabla ya kukutana na huyu bibie na hiyo nikutokana na shule nilizosoma, sheria ya kaz ninayofanya(kwa muda fulan hautakuwa...
ushaur mzur. Kwangu sina tatizo labda kama yeye ndani mwake kutakua na mengine coz huwez kuangalia ndani ya moyo wa mtu. Ila naamini ananipenda kama ninavyompenda hasa kutokana na magumu aliyopitia katika maisha yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.