Hawa ndio walimu tuliowakabidhi watufundishie watoto wetu, kwa kweli serikali imefanya jambo la maana "kutanua goli" otherwise sifuri zingekuwa zinaongezeka kila mwaka kama type ya walimu tuliokuwa nao ndio hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.