Recent content by KICHUMVI

  1. KICHUMVI

    Sina Swaga za kula mzigo!

    ha!ha!ha! mwanamke atongozwi mkafanye sex,we omba urafiki then msisitize aje kwako kukutembela akija unacheza mieleka unakula mzigo na cku ya cku anakupenda mwenywe na kama anakunywa pombe ndo rahisi kabisaaaaaaaaaa
  2. KICHUMVI

    Girls never loose such guy with these qualities!

    wapo ila ni wale wasio na pesa tu ndyo wanaobembeleza sana,
  3. KICHUMVI

    Girls never loose such guy with these qualities!

    ukiwa na pesa hayo yote ufanyi na mwanamke anakuganda,ukiona hivyo ujue huna kitu ndo utafanya yoye hayo na atakuendesha
  4. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    asante may GOD bless u
  5. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    asante sana,nimeshafanya maamuzi nimemwacha fary
  6. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    nilishamtimua
  7. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    asante tayar nimeshamtimia lakin amenitisha amesema atafanya lolote lile mm lazima nitakuwa wake na i wii pay 4 it,nilitumia nguvu sana alilia siku nzima ilikuwa ugomvi sana
  8. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    tayar nimeshampiga chini kwa nguvu
  9. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    nilifanikiwa kumtimua lakini amelia sana siku nzima na ametoa maneno makal sana amesema atafanya vyovyote vile mimi ndyo nitakuwa mume wake na hatochoka kunupigania na pia amesema nitapay for it so ameniacha njia panda sijui anataka kufanya nini
  10. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    nimempiga chini fary
  11. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    hapana,anatokea mbeya
  12. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    asante nilishafanya maamuzi magumu,nimempiga chini fary,alilia sana cku nzima na amesema atafanya chocho kile mm nitakuwa mume wake na pia i wii pay for it
  13. KICHUMVI

    Najuta( mawazo yako ni muhimu)

    nimeshamwambia fary,amelia sana na amesema anafanya vyovyote vile mimi ndiyo nitakua mume wake na amesema i will pay 4 it so amenitisha sana cjui anataka kufanya nn na nitapay kitu gan so bado nawaza sana
Back
Top Bottom