Recent content by kichongeochuma

  1. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka

    Wasira kamuachia kijana gani ? Nipe mfano
  2. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Imetosha! Wananchi wa Bumbuli tunakataa jina la January Makamba

    Taratibu za kugawa rushwa sio!
  3. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

    CCM pesa inazito kutoka hazina ya serikali onayo endeshwa kwa kodi za wananchi na pesa zingine zinatoka kwenye miradi ambayo CCM imejimilikisha kutoka kwa serikali kama viwanja vya mipira na fremu za maduka ambayo vilikuwa mali ya wananchi enzi za chama kimoja, hivyo baada ya ujio wa vyama vingi...
  4. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

    Watu wengi wa CCM vichwani hawana akili kabisa ndio maana uwezo wao huwa ni ku deal na vitu vidogo vidogo ambavyo havina maana na hiyo ndio kazi kubwa ya wajinga
  5. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania International airport ndani ya Serengeti ni makosa makubwa kiuhifadhi

    Wamejazana viongozi wengi huko juu vichwa box unadhani kuna la maana hapo
  6. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

    Makonda ni mtu wa kufuta ugomvi wakati wote, ingawa gambo naye wacha anyooshwe alipo kuwa mkuu wa mkoa arusha alijitutumua sana
  7. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

    Kuna mwizi hatari zaid ya yule anaye kwapua pesa hazina na kuhonga chawa wake kwa mgongo urais na mwenyekiti wa chama.? Hii hoja muone hata aibu kuisimamia mana kama ni wizi wa pesa za wananchi kwa maslahi ya CCM ndiyo maisha halisi ya CCM ,imejimilijisha mali za nchi na kutaifisha kuziita za...
  8. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

    Bora hawa wanao kusanya kutoka kwa wananchi kwa kusema na kwa uwazi kuliko wale wa CCM walio jimilikisha mali za umma na wana jichotea kodi za walalahoi hazina na kwenda kununulia mabasi na kuhongana kukatiana viuno DODOMA.
  9. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

    Hata tshekedi aliamini hivyo hivyo kama unavyo amini wewe kwamba serikali ni lidude likuuubwa halitishwi wala kutishika lakini mwisho wa siku akajua kumbe kuna serikali kikundi chake na kuna wananchi wenye nchi na ndiko tunako pelekwa sasa hivi
  10. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

    Na hapo unaweza kuta OCD tu baada ya kuona ile clip kaagiza vijana wake mkamateni bila hata reasoning
  11. kichongeochuma

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

    Ubunge unyama sana na una maposho na marupu rupu mengi na ana nafasi pia ya kuukwaa unaibu au uwaziri kabisa , ukuu wa mkoa ni uchawa na anacho faidi mkuu wa mkoa ni kuweka wenzie ndan kwa saa 24 na kupigiwa saluti na maaskari tu. Ila hakuna lolote huko kwenye ukuu wa mkoa zaidi ya kulewa...
Back
Top Bottom