Recent content by Kicheche mkali

  1. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ni eneo gani litakuwa 'Masaki mpya' ya Dar es Salaam ndani ya miaka 10 ijayo?

    Jukwaa la Ujenzi na Makazi 🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA! Thread starterKicheche mkali Start date4 minutes ago Tagskujenga Summarize Thread (AI)Unsubscribe ••• Kicheche mkali JF-Expert Member 4 minutes ago Add bookmark #1 🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA...
  2. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Jukwaa la Ujenzi na Makazi 🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA! Thread starterKicheche mkali Start date2 minutes ago Tagskujenga Summarize Thread (AI)Unsubscribe ••• Kicheche mkali JF-Expert Member 2 minutes ago Add bookmark #1 🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA...
  3. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania 🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA!

    🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA! Kuanzia sasa nimeanzisha UJENZI NA RAMANI — WhatsApp Membership, kwa mtu yeyote anayejenga au anayepanga kujenga nyumba yake. 💰 Tsh 2,000 TU KWA MWEZI Ukiwa MEMBER unapata: 🏠 SITE PLAN — BURE 📐 VIPIMO VYA RAMANI — BURE 🔄 MAREKEBISHO YA RAMANI...
  4. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Sometimes tufundundishane tu Kwa njia ngumu ili heshima iwepo, huyu nyangwisi hatanisahau 😎

    Script imetulia sana hapo mtafutwe Dude muingie location mrekodi filam yenu
  5. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kwa kipato cha Tsh. 200,000/- kwa mwezi naweza kujenga nyumba?

    Hiyo laki 2 ni kipato chote au pesa unayotaka uweke kwenye Ujenzi......nikijua haya nitakupa muongozo mzuri......Karibu kwenye group letu la ujenzi na ramani Bure kabisa utapata site plan na ushauri kuhusu ujenzi wa Nyumba yako Wa.me//255789005562 Niambie niunge group la ujenzi
  6. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    UNA MILIONI 17, UNATAKA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA 3 — UTATOBOA?
  7. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Una milioni 17, unataka kujenga nyumba ya vyumba 3 — utatoboa?

    UNA MILIONI 17, UNATAKA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA 3 — UTATOBOA? Jibu ni NDIO, lakini lazima ujenge kwa mpango! 🔨 Milioni 17 siyo bajeti ya kujenga nyumba kubwa ya vyumba 3 yenye finishing za kifahari, lakini inaweza kuwa mwanzo mzuri sana kama utakuwa na ramani sahihi, design rahisi na usimamizi...
  8. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kwa kipato cha million 1 Kwa mwezi sina akiba bank Wala kipato cha ziada nawezaje kujenga nyumba ya ndoto yangu ya vyumba 3 yenye kila kitu muhimu....

    🏠 UNA MILIONI 1 KWA MWEZI? UNAWEZA KUJENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO NDANI YA MIAKA 2! Mtu mwenye kipato cha TSh 1,000,000 kwa mwezi, hana akiba benki wala kipato cha ziada — anawezaje kujenga nyumba ya vyumba 3 yenye kila kitu ndani ya miaka 2 bila kichwa kutuma? 😂 Jibu ni moja: NIDHAMU + MPANGO +...
  9. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa haya mashimo ya Choo ni bora?, tuambizane tusije kujichanganya

    SEMA KWAHERI NA USUMBUFU WA KUNYONYA CHOO KILA MARA! 🚫🚽 Wekeza Kwenye Mfumo wa Kisasa wa Mashimo ya Choo (Bio-Digester & Modern Soakpit) Je, umechoshwa na gharama za kila mara za kukodi magari ya kunyonya majitaka? Au una eneo dogo linalokupa dhoruba ya wapi uweke shimo la choo cha kienyeji...
  10. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Acha kukopi maujinga ya watu dogo......Utapoteana ona sasa unavyodhalilika na unashindwa kutetea hoja Yako.....huyu nelo uliyemkopi nae binadamu huwa anakosea sio kila anachopost unakopi.....Aibu utaona wewe 👇👇👇👇🙄
  11. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Kwanza kabisa sijakujibu wewe acha shobo mshoboko.....Cha pili hii topic huyu mpuuzi mwenzio ameitoa Kwa nelo contraction na Yeye pia amekosea aliposema hivyo....tatizo lenu mnajikuta wajuaji sana na uhalisia ni kwamba hamjui chochote......angalia post ya nelo na alichokiandika mwenzako huyo...
  12. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Sikia dogo.... Ukiona mahali wameandika wanatumia ratio ya 1:3 (kama ulivyokopi huko) wanamaanisha cement 1 na mchanga toroli (ndoo) 3 Ukiona kwenye ratio za zege wameandika wanatumia ratio ya 1:3:6 Wanamaanisha cement 1 mchanga 3 kokoto 6 Haya mambo inatakiwa ujifunze kwanza ndipo uweke...
  13. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Sikia dogo.... Ukiona mahali wameandika wanatumia ratio ya 1:3 (kama ulivyokopi huko) wanamaanisha cement 1 na mchanga toroli (ndoo) 3 Ukiona kwenye ratio za zege wameandika wanatumia ratio ya 1:3:6 Wanamaanisha cement 1 mchanga 3 kokoto 6 Haya mambo inatakiwa ujifunze kwanza ndipo uweke...
  14. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa msingi resho ya mchanga na cement hii hapa

    Hamna fundi humu.....dalali huyu
  15. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!

    💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧 🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika! 📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima 🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥 Tunakuzawadia TANK LA MAJI LA LITA 5,000 BURE! 🎁💦 Chukua hatua sasa! Kwa kila mradi wa kisima tutakaofanya...
Back
Top Bottom