Recent content by Kicheche mkali

  1. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🚨 CHOO CHA KISASA CHA MASHIMO MAWILI — KINAWEZA KUKUPUNGUZIA GHARAMA ZA MATENGENEZO! Je, umechoka na choo cha kawaida kinachojaza shimo haraka? Mfumo wa mashimo mawili unatenganisha kazi: 🔹 Shimo la kwanza hupokea taka na kufanya sehemu kubwa ya uchujaji/mtengano wa taka. 🔹 Shimo la pili...
  2. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🚨 KELVIN HK: UNAFAHAMU CEMENT INATUMIKAJE KWENYE MRADI WAKO? Ukiambiwa nyumba yako itahitaji mifuko 500 ya cement, uliza Kwa matumizi Yapi na sehemu ipi: 👉 Mifuko hiyo itaenda wapi? Foundation? Columns? Lintels? Blockwork? Plaster? Floor? Tiles? Au sehemu nyingine? Cement haipangwi kwa...
  3. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    Jarida hili hapa 👇👇👇👇 lipo Kwenye mfumo wa PDF
  4. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🏗️ UJENZI WAKO USIWE WA KUBAHATISHA! Tumeandaa MJENGO TODAY — TOLEO LA KWANZA 📖 Jarida maalum kwa kila mtu anayepanga kujenga, kununua nyumba, kufanya renovation au kujifunza zaidi kuhusu ujenzi. Ndani yake tumegusa mambo ambayo yanaweza kukuokolea muda, pesa na makosa makubwa kwenye site...
  5. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Usianze ujenzi kama hujafahamu haya machache

    🚨 KELVIN Hk: USIANZE KUJENGA KAMA HUJUI NYUMBA YAKO ITAKUGHARIMU KIASI GANI HADI MWISHO! Watu wengi huanza ujenzi wakiwa na pesa ya foundation tu. Foundation inaisha… wanaendelea kutafuta pesa. Walls zinaisha… wanatafuta tena. Roofing… tena wanatafuta pesa Plaster, milango, madirisha...
  6. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🚨 KELVIN Hk: USIANZE KUJENGA KAMA HUJUI NYUMBA YAKO ITAKUGHARIMU KIASI GANI HADI MWISHO! Watu wengi huanza ujenzi wakiwa na pesa ya foundation tu. Foundation inaisha… wanaendelea kutafuta pesa. Walls zinaisha… wanatafuta tena. Roofing… tena wanatafuta pesa Plaster, milango, madirisha...
  7. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga

    Wewe kwani nani wa kuamrisha vyombo vya Dola kumkamata Afande sele......Tuliza komwe sindano ikuingie! Na hapa Kuna mawili Wewe ni shoga au unawatumia mashoga So umekasirika Wamekutaja au wametajwa washirika wako wa ushoga! Period!
  8. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    Kuhusu urefu wa mnara wa tank la maji: Hakuna urefu mmoja unaoweza kuitwa standard kwa kila nyumba. Urefu sahihi wa mnara huamuliwa kulingana na mahitaji ya mfumo wa maji, hususan pressure inayohitajika, idadi ya ghorofa, kiwango cha sehemu za matumizi ya maji, ukubwa wa tank na mfumo wa...
  9. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    Kuhusu urefu wa mnara wa tank la maji: Hakuna urefu mmoja unaoweza kuitwa standard kwa kila nyumba. Urefu sahihi wa mnara huamuliwa kulingana na mahitaji ya mfumo wa maji, hususan pressure inayohitajika, idadi ya ghorofa, kiwango cha sehemu za matumizi ya maji, ukubwa wa tank na mfumo wa...
  10. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    Kuhusu urefu wa mnara wa tank la maji: Hakuna urefu mmoja unaoweza kuitwa standard kwa kila nyumba. Urefu sahihi wa mnara huamuliwa kulingana na mahitaji ya mfumo wa maji, hususan pressure inayohitajika, idadi ya ghorofa, kiwango cha sehemu za matumizi ya maji, ukubwa wa tank na mfumo wa...
  11. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Msaada BOQ Mnara wa Tank La Maji (Nalipia)

    Kila kheri kaka! Usisahau kutupa mrejesho
  12. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    Bracing ni viunga vya kuimarisha mnara. Ni sehemu zinazowekwa na kuunganisha nguzo za mnara, mara nyingi kwa muelekeo wa diagonal, ili kusaidia mnara usiyumbe, kupinda au kusogea upande wa pembeni. Kwa mfano, ukiangalia mnara huu wa tank, utaona baadhi ya vyuma vinaenda kwa diagonal na mara...
  13. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Elimu kuhusu Ujenzi wa Minara ya Tank za maji

    🏗️ UJENZI WAKO USIWE WA KUBAHATISHA! Tumeandaa MJENGO TODAY — TOLEO LA KWANZA 📖 Jarida maalum kwa kila mtu anayepanga kujenga, kununua nyumba, kufanya renovation au kujifunza zaidi kuhusu ujenzi. Ndani yake tumegusa mambo ambayo yanaweza kukuokolea muda, pesa na makosa makubwa kwenye site...
  14. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba ikifika hapa inakuwaga ngumu kumalizia?

    🏗️ UJENZI WAKO USIWE WA KUBAHATISHA! Tumeandaa MJENGO TODAY — TOLEO LA KWANZA 📖 Jarida maalum kwa kila mtu anayepanga kujenga, kununua nyumba, kufanya renovation au kujifunza zaidi kuhusu ujenzi. Ndani yake tumegusa mambo ambayo yanaweza kukuokolea muda, pesa na makosa makubwa kwenye site...
  15. Kicheche mkali

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba ikifika hapa inakuwaga ngumu kumalizia?

    🏗️ UJENZI WAKO USIWE WA KUBAHATISHA! Tumeandaa MJENGO TODAY — TOLEO LA KWANZA 📖 Jarida maalum kwa kila mtu anayepanga kujenga, kununua nyumba, kufanya renovation au kujifunza zaidi kuhusu ujenzi. Ndani yake tumegusa mambo ambayo yanaweza kukuokolea muda, pesa na makosa makubwa kwenye site...
Back
Top Bottom