🏠 UNAJENGA? USIANZE KUJENGA KWA KUBAHATISHA!
Kuanzia sasa nimeanzisha UJENZI NA RAMANI — WhatsApp Membership, kwa mtu yeyote anayejenga au anayepanga kujenga nyumba yake.
💰 Tsh 2,000 TU KWA MWEZI
Ukiwa MEMBER unapata:
🏠 SITE PLAN — BURE
📐 VIPIMO VYA RAMANI — BURE
🔄 MAREKEBISHO YA RAMANI...
Hiyo laki 2 ni kipato chote au pesa unayotaka uweke kwenye Ujenzi......nikijua haya nitakupa muongozo mzuri......Karibu kwenye group letu la ujenzi na ramani Bure kabisa utapata site plan na ushauri kuhusu ujenzi wa Nyumba yako
Wa.me//255789005562
Niambie niunge group la ujenzi
UNA MILIONI 17, UNATAKA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA 3 — UTATOBOA?
Jibu ni NDIO, lakini lazima ujenge kwa mpango! 🔨
Milioni 17 siyo bajeti ya kujenga nyumba kubwa ya vyumba 3 yenye finishing za kifahari, lakini inaweza kuwa mwanzo mzuri sana kama utakuwa na ramani sahihi, design rahisi na usimamizi...
🏠 UNA MILIONI 1 KWA MWEZI? UNAWEZA KUJENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO NDANI YA MIAKA 2!
Mtu mwenye kipato cha TSh 1,000,000 kwa mwezi, hana akiba benki wala kipato cha ziada — anawezaje kujenga nyumba ya vyumba 3 yenye kila kitu ndani ya miaka 2 bila kichwa kutuma? 😂
Jibu ni moja: NIDHAMU + MPANGO +...
SEMA KWAHERI NA USUMBUFU WA KUNYONYA CHOO KILA MARA! 🚫🚽
Wekeza Kwenye Mfumo wa Kisasa wa Mashimo ya Choo (Bio-Digester & Modern Soakpit)
Je, umechoshwa na gharama za kila mara za kukodi magari ya kunyonya majitaka? Au una eneo dogo linalokupa dhoruba ya wapi uweke shimo la choo cha kienyeji...
Acha kukopi maujinga ya watu dogo......Utapoteana ona sasa unavyodhalilika na unashindwa kutetea hoja Yako.....huyu nelo uliyemkopi nae binadamu huwa anakosea sio kila anachopost unakopi.....Aibu utaona wewe 👇👇👇👇🙄
Kwanza kabisa sijakujibu wewe acha shobo mshoboko.....Cha pili hii topic huyu mpuuzi mwenzio ameitoa Kwa nelo contraction na Yeye pia amekosea aliposema hivyo....tatizo lenu mnajikuta wajuaji sana na uhalisia ni kwamba hamjui chochote......angalia post ya nelo na alichokiandika mwenzako huyo...
Sikia dogo....
Ukiona mahali wameandika wanatumia ratio ya 1:3 (kama ulivyokopi huko) wanamaanisha cement 1 na mchanga toroli (ndoo) 3
Ukiona kwenye ratio za zege wameandika wanatumia ratio ya 1:3:6
Wanamaanisha cement 1 mchanga 3 kokoto 6
Haya mambo inatakiwa ujifunze kwanza ndipo uweke...
Sikia dogo....
Ukiona mahali wameandika wanatumia ratio ya 1:3 (kama ulivyokopi huko) wanamaanisha cement 1 na mchanga toroli (ndoo) 3
Ukiona kwenye ratio za zege wameandika wanatumia ratio ya 1:3:6
Wanamaanisha cement 1 mchanga 3 kokoto 6
Haya mambo inatakiwa ujifunze kwanza ndipo uweke...
💧 KELVIN HK BUILDER'S 💧
🏗️ Wachimbaji Visima vya Kisasa — Wataalamu wa Kuaminika!
📍 Temeke, Dar es Salaam | 🌍 Tunahudumia Tanzania Nzima
🔥 OFA YA MSIMU: PUNGUZO LA DHAMANA! 🔥
Tunakuzawadia TANK LA MAJI LA LITA 5,000 BURE! 🎁💦
Chukua hatua sasa! Kwa kila mradi wa kisima tutakaofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.