Nashangaa eti vyeti feki,walisubiri watajwe,ndipo waseme hayo? Kama feki lkn vinafanya Kazi ya kuwataja wanao didimiza maendeleo na kuwafanya mazezete baadhi ya wenzetu,bora vyeti feki vyenye manufaa,kuliko vyeti halisi vya hasara,ni heri Mwanga kibatari nyumbani kwako,kuliko Mwanga wa taa ya...