Recent content by kibukta

  1. K

    Saut: Musa na sautso waichafua, wanafunzi wengi waacha chuo, ukahaba nje nje.

    Hivi huyu musa ni nduguye na Alex ? kwani miaka ya 2009 kulikuwepo mjinga mwingine hapo aliyekuwa akinyanyasa wanachuo kwenye maswala ya mikopo. Huyo mjinga aliitwa Alex. Ni vema kama alifukuzwa na huyu Musa afukuzwe kwani wanadhalilisha hicho chuo na uongozi wa Kanisa kwa Ujumla wake.
  2. K

    Ukimya wa CCM na Lusinde

    huyu alitumwa na wenzake. kwani hamkuona na kusikia mkaa hapa akipoteza mwelekeo na kuanza kuichambua familia ya mwalimu? kama kuna mwenye hekima miongoni mwa hao mafisadi atamkemea huyu mbunge. amefedhehesha vijana wa ccm. aombe radhi taifa hadharani na sio kwenye vikao vyao vya ndani.
Back
Top Bottom