Recent content by KIBUGHYE

  1. K

    Wawakilishi wateule 27 wa CUF wamepinga uamuzi wa ZEC baada ya kufuta ushindi wao

    kama uchaguzi ulikua na kasoro kwa nini cuf muogope kurudia uchaguzi wakati tume yenu ni huru. Jecha tunaitaka amani yetu wape cuf haki yao: Ingawa kasoro zilikuwepo na huwa hazikosekani kwenye chaguzi zetu.
  2. K

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    SWALI KWA Mh: Lowasa. Kama MONDULI haina Lami hata kidogo Benki hakuna Maji Kuna njaa kwa taarifa za sasa, hakuna ajira na usafiri ni wa shida. Je ataiweza kuibadilisha Tanzania
  3. K

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    MTU WA MUNGU NI MTU WA MUNGU: Dr.Slaa YUKO TOFAUTI SANA NA SISI. ILA TUNASHUKURU KWA HILI
  4. K

    Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

    mafisadi wote watatubu na tutawasugua mpaka wasafishike
  5. K

    TIMU Magufuli tukutane hapa

    amekua waziri bora kuliko ata LOWASA atashindwa URAIS.
  6. K

    Yaliyojiri Agosti 4/2015 katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Ukumbi wa Mlimani City, DSM

    Mokongoro Mahanga, karibu chaedema lakini usitegemee uongozi kwa sababu wewe ni mchafu ssana. mimi binafsi nakumbuka ulitcho tufanyia 2010 UKONGA. Huku mambo safi kwa watu safi
  7. K

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Naomba mnisaidie aliyeshinda JIMBO JIPYA LA MBAGALA DAR ES SALAAM
  8. K

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Chadema wameonesha udhaifu mkubwa ssana. Walitakiwa wamtose ili tuuone ukomavu wao. Kama lowasa alikua fisadi wakati yupo ccm je leo vipi?
  9. K

    Kutoka Dodoma: Fedha za kuhonga wajumbe wa NEC ya CCM zakamatwa!

    kazi na dawa. kwenye siasa malipo kwanza kazi inafuata
Back
Top Bottom