Unajua ukitaka kulima tarajia mambo haya matatu
1.kunafaida
2.kunahasara na
3.Kuna kurudisha pesa ya galama zako tu
Ukiweza kuzingatia mambo hayo matatu mkuu kilimo hakitakutesa sana
Tayari makala yangu ipo kwe kurasa ya STORY OF CHANGE kwa kichwa cha andiko WAKUU TUINUANE KIUCHUMI".
Naomba kura zenu tafadhali. Coment. like [emoji120][emoji120]
Mi nafikili vijana tukijikita kwenye kilimo na bishara tutatoka kiuchumi mi Leo nataka niwape vijana wenzangu Elimu kidogo kuhusu kilimo cha vitunguu swaum. Mimi ninauzoefu wa miaka 9 sasa wakulima na kupeleka sokoni kilimo cha vitunguu swaum ni kilimo cha mda mfupi toka kupanda hadi kuvuna ni...
Mm ndio nafanya mkuu ninaozoefu wa kutosha namiaka9 sasa ndo kazi yangu kubwa nalima mkoa wa manyara na kwa mwaka huwa inalimwa mara1 kwa sababu ya changamoto ya hali ya hewa
Mm ndio nafanya mkuu ninaozoefu wa kutosha namiaka9 sasa ndo kazi yangu kubwa nalima mkoa wa manyara na kwa mwaka huwa inalimwa mara1 kwa sababu ya changamoto ya hali ya hewa
Mi nafikili vijana tukijikita kwenye kilimo na bishara tutatoka kiuchumi mi Leo nataka niwape vijana wenzangu Elimu kidogo kuhusu kilimo cha vitunguu swaum. Mm nauzoefu wa mika9 sasa wakulima na kupeleka sokoni kilimo cha vitunguu swaum ni kilimo cha mda mfupi toka kupanda hadi kuvuna ni miezi4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.