Jamani muwe na mawazo ya kibinadamu msichangie mawazo ya kebehi au kejeli kama msiba wetu wote vijana hatujui hatma yetu muwe na hoja sio mnakurupuka tuu.....
ushauri kutoka kwangu mm kama uanendendelea kumfuatilia huyu p magesa mpaka kwenye mablogu bila ya hoja hapa forum bs ww una chuki binafsi peleka uchadema wako mbele hukOooo leta hoja au mada ya kueleweka.acha uchadema wako tumewastukia mshaiba vya kutoshaa hamtoshekiii
Kama kweli nyinyi wakweli basi rusheni hiyo video youtube ili wananchi na dunia nzima waone acheni zuga nyinyi tumewastukiaa hamna lolote nyinyi wazushii na wauwaji wakubwa wa wanachama wenu tushawastukiaa!!
Kwa hiyo mnatuambia watu wa moshi ni wajanja sana sio...hahahahahaha ama kweli mkiambiwa watu wa moshi ni wakabila na wadini msibisheee mnajisuta wenyewe wazee wa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.