Recent content by kibigolo

  1. K

    Dr. Slaa Akamatwe, ahojiwe na ikiwezekana achukuliwe hatua

    WEWE mfamaji HEBU ACHA KUTUZINGUA AKAMATWE KWA MISINGI GANI? HEBU NIPE MAELEZO KAMILI ,MNASHINDWA KUWAKAMATA WEZI WA MALI ZA SERIKALI MNASEMA AKAMATWE MTU MPIGANAJI MAARUFU WA MALI ZA UMA HEBU REKEBISHA MAONGEZI YAKO HUNA SELA WEWE
  2. K

    Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

    Mimi nadhani itakuwa haina maana kama mtamshitaki Masha na Membe akaachwa na wakati yeye nae alishiriki katika dili hili kipindi wakati ni Naibu Wazir , Kwanini hili swala limenyamaziwa kimia?
Back
Top Bottom