mama alikua anamjua kama rafiki yangu wa kawaida tu,ila imetokea wakawa wanapigiana simu mara kwa mara kujuliana hali..sasa nashindwa kuelewa imekuaje mpaka kesi za mapenzi ye2 zinapelekwa kwa mzazi wangu.
Mnapokuwa katika mahusiano na mtu ambaye ni mpenzi wako. Inapotokea umekosea ni sahihi mpenzi wako huyo kukusemea kwa mama yako?
Naomba kuuliza tu wapendwa, maana sielewi ananitafuta nin huyu kiumbe!
Huyu binti ni kama simuelewi flani vile,mwaka jana mwezi wa 12 alinipa malalamiko yake kwamba anahc nimepunguza mapenzi kwake kwa sababu simwambii kama nampenda wala simwambii kama nammiss,nikamjibu nikamwambia kwamba mapenzi ya kweli hayapimwi kwa kuambiwa maneno hayo pekee but matendo ya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.