Recent content by kibheri

  1. K

    mapenz siti moja ndani ya basi

    kumbe ni sifa?
  2. K

    Hivi ni sahihi kumsemea mpenzi wako kwa mama yake?

    mama alikua anamjua kama rafiki yangu wa kawaida tu,ila imetokea wakawa wanapigiana simu mara kwa mara kujuliana hali..sasa nashindwa kuelewa imekuaje mpaka kesi za mapenzi ye2 zinapelekwa kwa mzazi wangu.
  3. K

    Hivi ni sahihi kumsemea mpenzi wako kwa mama yake?

    ni girlfriend tu..me nina 25 yeye ana 23.
  4. K

    Hivi ni sahihi kumsemea mpenzi wako kwa mama yake?

    Mnapokuwa katika mahusiano na mtu ambaye ni mpenzi wako. Inapotokea umekosea ni sahihi mpenzi wako huyo kukusemea kwa mama yako? Naomba kuuliza tu wapendwa, maana sielewi ananitafuta nin huyu kiumbe!
  5. K

    Sijala toka jana nilipohakikisha sijachaguliwa uhamiaji

    Hivi hzi nazo ni kazi za kukufanya ujutie kuzikosa kweli?
  6. K

    Inapendeza kuona unapendwa na mtu unayempenda

    Hongera zenu..maana ce wengine wapenzi tu wanatutoa knock out!
  7. K

    Hivi hii inaweza ikawa ni sababu ya wapenzi kuachana kweli,au niendelee kubembeleza?

    Huyu binti ni kama simuelewi flani vile,mwaka jana mwezi wa 12 alinipa malalamiko yake kwamba anahc nimepunguza mapenzi kwake kwa sababu simwambii kama nampenda wala simwambii kama nammiss,nikamjibu nikamwambia kwamba mapenzi ya kweli hayapimwi kwa kuambiwa maneno hayo pekee but matendo ya mtu...
  8. K

    Nina shahada ya uchumi, natafuta kazi

    Umemalza chuo gani?
  9. K

    Uhamiaji wametoa majina ya wakaguzi wasaidizi

    Niangalizien majina haya tafadhali,Damiani morris lukenza na chrispine mathias swai.
  10. K

    Hivi mpenzi wako anapokuambia hana hisia na wewe tena, anakua ana maana gani hasa?

    kwa mujibu wa intelijensia yangu,hana mtu..nimemfanyia udukuzi wa kila aina,bt majibu ni kuwa hana mtu.
Back
Top Bottom