Makosa umexema yako ni 21. Lakini umebainisha makosa 2, hayo 19 yako wapi? Na wakosaji walikuwa 9 wanne wa wameachiwa je wale wanne ukimtoa victor mbona hamelezi ni kina nani, Na walihusikaje?.
Unadhihirisha udhaifu zaidi katka ccm na serikali yenu. Maana ya ccm yamekuwa magumu kuyatatua hvy unakimbilia kuibua hoja za kitoto dhidi ya mbowe. Umepotea kwa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.