bado una mtihani wa kimaisha mahana hapa upo njia panda ila ushauri wangu kama utojali ni vema ukamkubali unaye mpenda kuliko kujiingiza kwenye maisha ambayo ktk maisha yako hutaishi kwa amani itakuwa ni ndoa ndoano hambayo yawezekana ikawa na kila kitu ila ukajiona huna dhamaini ktk maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.