Tunawakubali sana Mnyika na Lissu.. wewe endelea kupiga porojo za lumumba.. watu wanadai madai yao kule ubungo nyie mmejifungia kutunga hekaya za uongo.
Toa ubeya hapa... bi chaubeya... Mwananchi wameandika na ndiyo ukweli... Hakuna kusogeza uchaguzi mbele uzembe wenu usiliangamize taifa na hatuta kubali ndiyo ukweli.. Kauli ya Mkt ni kauli yetu Chadema na Watanzania wote.
Utaratibu uwekwe mzuri siyo huwo wa kuchaguliwa na waziri anayetokana na chama fulani.
Tunapaswa kuwa na utaratibu mzuri na sahihi na siyo kuamuliwa mambo yetu na vyama.
Muswada huwo ukipelekwa na kupitishwa ukatakuwa ni kuendelea kushikilia mawazo ya vijana. Hakuna mahala ambapo vijana wamepewa mamlaka ya kuchagua kiongozi wao zaidi ya waziri kuwa mteuzi. Tunazikataa hizi nyadhifa zauteuzi tunataka kuchangua wenyewe.
Hahahahahaaa....Maghembe tutakuvua nguo mwaka huu hiyo ni moja.. unapambana na Kamanda Kilewo mtoto wa mjini tegemea mengi zaidi ya haya... Moto unaoenda kukutana nao siyo wa kitoto.
Mwanga tuliongozwa na mzigo muda mrefu na tulikuwa hatujampata mtu sahihi, Maghembe ameongoza jimbo hilo kwa udini na Ukanda hakuna kitu kilichokuwa kinamfanya kuwa madarakani zaidi ya hayo.
Alisema mama yake ndiyo amezaa pekee na kututukana wapare wote, sasa amezaliwa kidume anayeheshimu...
Maghembe ni mzigo, kwasasa wanawahadaa watu eti kutoa maji kijiji cha njia panda kata ya kirya na kuleta maji.
Wakati wakazi wa eneo hilo wananunua maji ndoo moja kwa kiasia cha sh 800 mpaka 1000 sasa huyu maghembe kama siyo ukichaa ni kitu gani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.