Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imeitaka tume ya uchaguzi nchini DRC kuhesabu upya kura ili mshindi halali aweze kutambulika, baada ya mshindi wa pili Martin Fayulu kudai kuna wizi wa kura. Fayulu amefungua kesi Mahakama ya Katiba kupinga matokeo hayo.
Ndege zote 6 zilizonunuliwa na serikali (Bombardier 3, Airbus 2 na Boeing 1) zimegharimu jumla ya TZS bilioni 817, ambapo kwa pamoja ndege hizo zina uwezo wa kubeba abiria 598 kwa wakati mmoja. Ndege 2 ziliwasili nchini 2016, nyingine 3 mwaka 2018, huku ya mwisho imewasili 2019.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.