Recent content by kiba binladen

  1. K

    SADC yataka DR Congo kuunda Serikali ya Muungano

    Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imeitaka tume ya uchaguzi nchini DRC kuhesabu upya kura ili mshindi halali aweze kutambulika, baada ya mshindi wa pili Martin Fayulu kudai kuna wizi wa kura. Fayulu amefungua kesi Mahakama ya Katiba kupinga matokeo hayo.
  2. K

    Gharama za ndege mpya za ATCL

    Ndege zote 6 zilizonunuliwa na serikali (Bombardier 3, Airbus 2 na Boeing 1) zimegharimu jumla ya TZS bilioni 817, ambapo kwa pamoja ndege hizo zina uwezo wa kubeba abiria 598 kwa wakati mmoja. Ndege 2 ziliwasili nchini 2016, nyingine 3 mwaka 2018, huku ya mwisho imewasili 2019.
Back
Top Bottom