Recent content by kiazikitam

  1. K

    Gharama za kufungua kampuni

    Naomba ni Dm nikujibu maswali yako yote na nikusaidie usajili kwa gharama nafuu
  2. K

    SoC01 Uyatima na kielelezo cha mafanikio maishani

    Hongera Sana kaka hakika Mungu n mwema Sana
  3. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Ahsante mm Ni mgeni kabisa huku hata hapo sikua napajua ngoja nifanye mchakato
  4. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Ndo nahangaika lifti ndugu sijapata bado ya kwenda popote Lifti nyingi Zina mashart magumu Sana najua ningekuwa aina ya wadda Fulani ningeshapata muda mrefu
  5. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Hapana kuweka namba hadharan pia sio salama naomba nikutumie pm
  6. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Ahsante Sana kwa ushauri ndugu Nitafanya hivyo pia
  7. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Nitashukuru Sana Kaka nakutumia pm
  8. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Nashukuru Sana Bora hata pole inapunguzaga maumivu Kuna wengine kazi yao kuropoka tu ujinga
  9. K

    Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

    Anaweza asiamini Sana kutoa pesa maana nishaitwa tapeli Bora tu lifti
Back
Top Bottom