ALI Salim mwaka jana mwezi wa sita alikuja kwa mganga mmoja huku Chang'ombe Maili kumi Tanga, tena akawa amevaa pama ili watu wasimjue. na huyo mganga ni kiboko sana kwa uchawi
yaani kama kwenye huu mkoa niliopo kuna radio inaanza matangazo yake kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa kumi na mbili asubuhi, yaani watu wengi sana wanateketea kwa huyu nabii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.