Usishtuke kwani sio wwnpeke yako. hayo ni mambo ya kawaida tu na hutokea kwa.bahati mbaya. Ila nakushauri uende clinic utapata ushauri mzuri na ulio bora kabisa. Kwani wao ni wazoefu wa shughuli hizo. Sisi wa mitaani wengi wetu hatuna uzoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.