Recent content by Khalid91

  1. K

    Tunafanya ujenzi bora wa nyumba

    🏗️🔥 KIPPAYA CONSTRUCTION – UJENZI WA KISASA, UBORA WA KUDUMU! 🔥🏗️ Unataka nyumba yako iwe ya kuvutia na ya kisasa? Tunakuletea huduma bora za ujenzi na ukamilishaji kwa viwango vya juu! 👌🏾🏠 🔨 Huduma Zetu: ✅ Finishing & Decorations – Tunamalizia kwa ustadi wa hali ya juu ✨ ✅ Plasta – Ukuta wako...
  2. K

    Phone4Sale Samsung galaxy A21s laki 2 tu.

    UPDATE: SIMU IMESHAUZWA Habari, Nauza simu samsung galaxy A21s. RAM :4GB Storage: 64GB Battery: 5000mAh Location: Dar Bei: 200k Tzs Iko vizuri unakaribishwa kuja kuikagua for your convinience. 0759007696 (call/WhatsApp)
  3. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    Mkuu hebu kasome kwenye website kwanza upate maarifa. Mimi nina kundi la watu ambao wanachukua visa nje ya nchi mara kwa mara. US consulates ni universal. Nenda kasome kwenye website wamelielezea vizuri hilo upate maarifa
  4. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    A Ahsante mkuu kwa clarifications
  5. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    hahah pole sana inabidi kutumia translator kwakweli
  6. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    Mkuu hii ni mihemuko au?Hebu pitia pitia basi kabla hujaropoka. I know what I am doing with evidence.
  7. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    Ahsante mkuu kwa mchanganuo wa mpaka gharama halisi kabisa
  8. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    hahahaa haya mkuu ahsante
  9. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    kuko full kuliko hata bongo
  10. K

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    naenda US embassy mkuu, ya kwetu imejaa hakuna appointments kabisa
Back
Top Bottom