Aisee,nadhani ifike mahali hao ndugu wa mkeo pamoja na mgonjwa wao wakubali tuu kuwa siku za mama zimekwisha hivyo waombe discharge wakasubiri muujiza nyumbani ugweno maana utauguza utafilisika na bado mama atakwenda na msiba utagharimia pia (japo siiombei)lakini naona ndiko unakoelekea sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.