Recent content by Kevzy

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi inaweza kuwa tofauti nzuri ya umri kati ya mume na mke kwenye ndoa au mahusiano

    Miaka 8 Hakikisha mwanaume wako hakuzidi zaidi ya miaka nane, na wewe mwanaume mwanamke wako usimzidi miaka mingi zaidi ya 8 Iwe miaka 2,3,4,5,6,7,8 ila isiwe zaidi ila mwanaume ndio azidi umri, na ni kwasababu Maumbile ya mwanamke, mwanamke anakuwa kwa umbo kwanza ataonekana mkubwa kimwili...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Maisha hayapo fair Mkuu, watu waneua watu October 29, vita huko putin na trump wanaua watu tu hakuna kinachowakuta Hii naona inafanya kazi kwa waafrica tu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Msiokuwa na matako mpewe tuzo maalum
  4. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Tena ana watoto kumi kwa mwanamke mmoja na anamudu mahitaji yote kifamilia
  5. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Nimependa sana mama samia kukutana na dola kubwa duniani
  6. K

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Angalia vizuri sio tenga
  7. K

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Pengine nimejiunga JF kitambo kuliko wewe ila hizo akili zako ndio za kijinga zaid.. mimi sibishani kwa kuwa sijakufata ulipo Kimbele mbele chako ndio kimekuleta kwenye uzi huu, siku ingine upite mbio ndefu uache shobo
  8. K

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Viongozi wa chadema , nashangaa vimbele mbele wanajijibisha wakati haliwahusu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Jibu swali
  10. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Siwez
  11. K

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Kama mwanch na ninataka ccm itoke madarakani lazima nihoji
  12. K

    JamiiForums Tanzania Binafsi nimefurahi na kupenda sana Rais Samia Suluhu kukutana na Putin

    Situmii
  13. K

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Ifute wewe
Back
Top Bottom