Recent content by Kevzy

  1. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanapenda kuombwa tendo siku ya kwanza unayokutana naye, unakuta wengine wamechangamka wanakupa siku hiyo hiyo

    Kuna watu Wana roho nzuri, kama bahati Yako unapewa tu
  2. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanapenda kuombwa tendo siku ya kwanza unayokutana naye, unakuta wengine wamechangamka wanakupa siku hiyo hiyo

    Hii nilichelewa kuigundua aisee, baadhi ya wanawake wengi wanapenda wanaume machachali ambao wanatamaa ya tendo mda wote, na wanapenda ile siku ya kwanza tu unayokutana naye ukamuomba tendo na ukamlilia kabisa akakupe siku hiyo hiyo Na ukimkuta yupo kwenye mood anaenda kukupa chap tu ...
  3. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Zamani nilikuwa najua wakuoa hawa wenye makalio makubwa ila hao sio kabsa wa kuwasogelea

    Wengi wao hawana akili hata kidogo, wanafikiri matako yao ndio kila kitu kumbe kuna cha zaidi kushinda makalio Na dzain ya wengi wenye makalio ni kama wanajitegesha hivi kama wapo kazini kwa kufikiria wanaume wengi tunapenda makalio makubwa, wapo kama wanajiiuza hivi umsifie ana makalio...
  4. Kevzy

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Mkuu seriously ulikosa kufanya usahili kisa mavazi, duuuh pole sana Hapo kituoni Kwa mbele hakukua Mchanganyiko wa nyumba za changanyikeni, ungeingia hapo mtaani na kuanza kuulizia nyumba Moja Moja kupata msaada wa shati na suruali ya kitambaa au ungesubiri mtu amalize interview umuazime Mkuu...
  5. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Watoto 12 wa YAKOBO ni WAAFRIKA....siri imefichuka,,,,,,

    Huo ndio ukweli Sema ngozi nyeusi ni wepesi kununulika mmenunuliwa na kuuza nafasi zenu Kwa watu weupe, M/Mungu ajakataza biashara so aliruhusu biashara na ninyi watu weusi mmeuza nafasi zenu na weupe wamechukua nafasi zenu Mmeuza kila kitu, weledi, uelewa,akili,nyadhifa,maarifa, mafanikio...
  6. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mtaani kwangu sifumaniwi hata nikilala na Mke wa mjesh Mkuu, hata ukiwa mjesh unadundwa Mtoto mzuri sana ila ilee stimu imekata tangia tukio litokee la kuongea na jamaa yake ule mwaka Kabla ilikuwa nikimkamata nampiga hata bao 7 ila baada ya fumanizi la sms na kuongea na mshikaji wake , bao...
  7. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Ali Hapi: Asilimia kubwa ya waliopo magerezani ni wana CCM

    Huwa wanakaa Kambi watoto wa Wana Ccm kila mwaka , wanapata mafunzo yote ya kijeshi
  8. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Tatzo Sina mzuka nae yaani kama naenda kutafuna mpira tu
  9. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mkuu yaani big risk aisee, Tena kademu kama kananitambia kuwa kinaenda kuolewa na kanaomba tukutane Ili anipe kila kitu, Sasa najiuliza nimkatae nn? Maana Sina hisia nae kabsa
  10. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Usiolee nyege
  11. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Kwa kumkataa kiongozi wa kanisa, binti yangu kafukuzwa kanisani na kusingiziwa wizi

    Ninapofanya ibada Kuna madrasa, wiki kama tatu hapo mwalimu wa madrasa Mkuu amewafukuza wasaidizi wake kama Saba hivi, kisa wanatembea na wanafunzi Tena ni wadogo wadogo , Cha ajabu wamekaa wiki tu kawarudisha waendelee na usaidizi Aisee mabinti wetu hawapo salama
  12. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Nomaa Kuna karembo nilikuwa natoka nacho bwanah wake akafumania chati zetu ikatokea ugomv jamaa akanipigia tukaongea kiume tukayamaliza , sister duuh akajifanya hatutaki wote atatafuta bwanah mwengine Siku zikapita nikimchek anakuja namla, yule jamaa yake wakarudiana ila Mimi nikawa wa kumla...
  13. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Wazazi wangu walinipiga vibaya sana wakinituhumu kuwa nimeiba pesa za mishahara zao na kiukweli sikuiba Wala Sina taabia ya wizi , nilikuwa ndio naingia form one Niliapa kuwa sitowasamehe na wao wakinisikia sikulala usiku mzima nawalaani tu Kitendo kilikuwa cha maudhi na udhalilishaji...
  14. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Mpaka mwakani mwezi wa sita nisipooa, nitawajaza sana mimba

    Nimechoka wakuu Kazi,majukumu na miangaiko nikajiwekea ngoja nitafute chapaa kwanza niache kuoa mpaka nitakapojipata, nikajiwekea nisipate mtoto mpaka nitapojipata nioe kwanza ndio niangaike na kujenga familia Sasa naona umri umeshaenda kibunda hakipatikani kadri mda unavyoenda naona...
Back
Top Bottom