Recent content by Kevzy

  1. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Mpaka mwakani mwezi wa sita nisipooa, nitawajaza sana mimba

    Nimechoka wakuu Kazi,majukumu na miangaiko nikajiwekea ngoja nitafute chapaa kwanza niache kuoa mpaka nitakapojipata, nikajiwekea nisipate mtoto mpaka nitapojipata nioe kwanza ndio niangaike na kujenga familia Sasa naona umri umeshaenda kibunda hakipatikani kadri mda unavyoenda naona...
  2. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Raisi Ruto awafikia wale Msioamini uwepo wa Mungu (Atheists)

    Ngoja yule jamaa aje
  3. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Kila mtu aamue anataka kuuza nn? Mimi nimeweka wazi kuwa nauza figo So kama wewe umeamua kuuza Donati ni juu Yako Mkuu, wanunuzi utawapata tu , usijar
  4. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Usiamini sinema mkuu
  5. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nna wasiwasi Mwamposa ana kitengo cha kufanyia watu upasuaji pale kanisani kwake, watu wanapona mjue palee

    Sio utani wakuu Mchungaji/Mtume MWAMPOSA nabii kama unaiona hii unisamehe kama umenielewa vibaya Mimi mawazo yangu yapo tofauti kidogo nafikiria kuwa una madoctor nguli hapo kanisani Kwako na unawatibu watu, una hospital ya siri ambao wanatibiwa wenye mahitaji tofauti tofauti ya magonjwa...
  6. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Shukrani sana mkuu Sijawahi kutumia sigara,pombe Wala kilevi chochote na Huwa sikai Wala sipo around na watu wanaotumia hizo mambo Sili kila kitu nakula Afya tu, situmii sukari kupitiliza Wala chumbi Wala mafuta, nafatilia Afya tangia napata akili timamu mpaka nasema nauza figo nimezipina na...
  7. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Una ishi naye Mkuu, siku hizi mashoga wanasema wao sio mashoga
  8. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Niliiandikia uzi humu humu jf na naipenda sana kuisimulia , nashangaaga mpaka leo yule jamaa kunililia vile aisee na Sasa hivi amezaa naye mtoto mmoja, mtoto wao ana miaka 2 Na kidemu Huwa kinanitafuta ila binafs yangu nimeamua kutotaka Tena huduma yake , nimeamua kuwaachia maisha yao Kwa...
  9. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Chuando tan ana miaka 60 lakini ana muonekano wa kijana kabisa

    Kwa wenzetu Kuna mambo mengi sana aisee Unafanyiwa upasuaji popote kwenye mwili wako ukiwa na kibunda tu, wadada wa dar wanatokaga hapa wamezeeka wanarudi mabinti, matiti yanakuwa saa sita, tako linainuka Tena, sura inakuwa ya bint, kiuno dondora ,,, jamaa wameendelea sana
  10. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Mkuu pengine tukienda kupimwa akili ukapumzishwa wewe mirembe Mimi nikaachwa niende nakupa hiyo 💯% Nipo fit kiakili zaidi unavyofikiri, Figo nauza Mkuu na nafikiri Mwisho wa mwaka huu mpaka mwakani mwezi wa sita nitakuwa nimeshauza
  11. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Figo 💯% nauza Mkuu, nitakuja na mrejesho hapa nikipata mset , tangazo nimeliweka site nyingi tu
  12. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    Katika mikataba ya Dunia Figo haikopeki, kukopa Figo sawa sawa useme unataka ufe alafu urudi tena duniani
Back
Top Bottom