Kwa wenzetu Kuna mambo mengi sana aisee
Unafanyiwa upasuaji popote kwenye mwili wako ukiwa na kibunda tu, wadada wa dar wanatokaga hapa wamezeeka wanarudi mabinti, matiti yanakuwa saa sita, tako linainuka Tena, sura inakuwa ya bint, kiuno dondora ,,, jamaa wameendelea sana