Sasa wewe utabaki kushangaa kuchi anauzwa laki mbili wakati wengine wanauza mpka laki tano,kama hauamini hata kenya bei yao ni kubwa sna,Fanya kusearch kwa google afu andika kuku kuchi olx kenya afu utaona bei zao.we endelea kushangaa watu tunapiga hela.Weka hizo picha za hao kuchi unaosema...
Umekosea sna,katika kuku ambae anajua kutunza vifaranga wake vizuri sna ni kuchi wa kike,wanakua WAKALI sna wanapokua na viranga.hawa ndo kuku walio na gharama sna duniani.kwa kizungu wanaitwa ASEEL na wale wenye midomo mifupi wanaitwa PARROT BEAK ASEEL.Kwa anae taka kujua zaidi kuhusu hawa kuku...
huyo ndio ni kuchi,kuchi wko wa aina tofauti.huyo sasa ndo wanaotumika kwa kupigana kule sehem za india au pakistan, kwa kizungu wanaitwa Aseel.pia kuna wale midomo mifupi ambao watu wanapenda kuwaita parrot beak aseel.tafuta kwenye google Parrot beak aseel utaona picha zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.