Recent content by Kevin RP

  1. Kevin RP

    BoT watangaza nafasi za kazi

    hahahahah wew atali! ghafla umekuw mtoto wa kigogo hap lazim upate kazi
  2. Kevin RP

    Pass mark ya utumishi

    mkuu ilo upo sahihi wala halina mjadala.
  3. Kevin RP

    Majibu usaili wa utumishi tarehe 11/10/2014

    :frusty: kweli ndugu lakin aya mambo ya kuangukia kweny varanda bila kuangukia sebuleni sijui yataish lini.
  4. Kevin RP

    Majibu usaili wa utumishi tarehe 11/10/2014

    :frusty: Yaaan we acha tu majang matupu! Kweli ndugu hap si kukata tamaa
  5. Kevin RP

    Usaili utumishi: Tuma malalamiko utumishi

    Ilo kweli ndugu upo sahihi, hain maan kuwa mtu akifeli hana uwezo wa kufanya kazi haliyokuw ameomba. Mara nyingine uwa wanachukua watu waliopata alama mpaka 70 kwend juu, hii ina maaan kuwa mtihan ulikuwa na usawa na mtu alipat cha kujibu. Ngoja watoe majibu utajionea majanga waliokusudia ktk...
  6. Kevin RP

    Inakuwaje hii?

    Good point! Ila usisahau kuutetea vizur uongo huo. Umenikumbush wakat nipo chuo kuna lecturer mmoja alisema uongo kweny CV unaandikwa na mtu anautetea vizuri sana. Sasa mtu kamaliza chuo na amesota kitaa miak wakadha na kila kazi wanatak uzoefu wa mwak 1 au kuendelea kwanin usidandanye. You are...
  7. Kevin RP

    Majina ya usahili Utumishi Auditors II NAO na HRO

    majanga kweli kweli hapa ni kubahatisha bahati yako. Wapo 1819 kwa nafasi 101
  8. Kevin RP

    Natafuta kazi, nina cheti cha Ukutubi

    Tembelea website ya Magereza( Jeshi la Magereza Tanzania) ubatishe bahati yako
  9. Kevin RP

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Water Supply and Sanitanion Engineering

    Jaribu kupitia utumishi uone kama kuna kada yako kwakuw kuna kazi zinaendana na fani za maji Never give up!
  10. Kevin RP

    Natafuta kazi, nina Diploma ya Water Supply and Sanitanion Engineering

    Jaribu kupitia utumishi uone kama kuna kada yako kwakuw kuna kazi zinaendana na fani za maji Never give up!
  11. Kevin RP

    Nimepata A usaili wa Utumishi, lakini sijachaguliwa

    Ilo nakupinga kwani wenye vigezo wapo wengi. Bora kuita watu wote wenye vigezo na kuchuan kwenye written maan uko unapata ulichokivuna na hakun kumlalamikia mtu. Utumishi ndo sehem pekee yenye asilimia kubw kupata kazi hasa kwa watoto wa maskini wasio na vigogo serikalin. Yaliyotoke Uamihaji...
  12. Kevin RP

    Nafasi (101) HRM OFFICE II na zile AUDITOR II (100) za utumishi washaitwa kwenye usaili?

    Bado hawajaita kwa nafas hizo naon wanaita kwa mafungu mafungu.
  13. Kevin RP

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Ninachojua kwa police anayeanz kazi anaanza na Tsh. 450,000
  14. Kevin RP

    Pamoja na kuwa na degree nimeishia kuwa kinyozi

    Nimeupenda sana ushauri wako.
Back
Top Bottom