Hizi ni dalili za wazi za kutimiza masharti ya jihaad kwa waislam kwa maaana toka lini ukweli ukawa uchochezi?mbona hawakuifungis tbc walipotoa takwimu kua waislam ni wachache?
ni kweli hata redio imaan imefungiwa kwa kipindi cha miezi sita ila ukweli ni kwamba mizengo pinda hivi majuzi alikua jijini mwanza na geita kutafuta suluhusho la mgigoro wa kristo kuamua kukiuka agizo la serikali la kutochinja kuuzia umma, ktk kikao hicho viongozi wa kanisa walimuamuru pinda...
bora umsaidie maanayaonesha hajui alisemalo zaid ya ushabiki wa kipuuzi na ujinga wa fikra zake,ukweli ni kwamba majuzi jijini mwanza na geita wazir mkuu pinda alikua akijarib kuendelea mutafuta suluhisho la kuuawa mchungaji mmoja katika sakata la wakristo kukiuaka agizo la kuchinja kuuia umma...
acha utoto na ufinyu wa fikra wewe/ yaonekena wazi kua na wewe ni mmoja kati ya wenye chuki na uislam na waislam toka lini ukweli ukawa uchochezi au ujinga unaouita wewe? Kufungia si tatizo ilaaa wametatua matatizo yalielezwa ukweli na redio imaan?
Nasikiyika sana kwamba katika kutekeleza mfumo kristo tanzania serikali imeamua kuifungia redio ya jamii redio imaan na ili ku balance wakaamua kuifungia kwa neema fm ya mwanza.
Hii inatokana na shinikizo la maskof katika kikao kilichofanyika mwanza na geita mbele ya wazir mkuu ambapo maaskof...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.