Hizi technical colleges subiri mkuu watoe majibu wataposti kwenye wepsite ya nacte. na kutakuwa na option ya kujua chuo ndugu yako alichopangiwa. Nadhani bado wanaendelea na mchakato.
Ukiingia nacte huwezi kuona kitu, cha msingi nenda kwenye vyuo husika ujaribu kuangalia tumia username na password zako ulizotumia wakati unaomba chuo. Mimi nimefanikiwa kwa hili.
Ukiingia nacte huwezi kuona kitu, cha msingi nenda kwenye vyuo husika ujaribu kuangalia tumia username na password zako ulizotumia wakati unaomba chuo. Mimi nimefanikiwa kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.