Yesu alikuja kutuokoa na dhambi na SI kuhukumu,hivyo huduma ya kikanisa ni ya Kila mtu bila kuhukumu.kumtenga mtu tena akiwa mfu SI sawa,yesu alitufundishe tusilipize .
Nilipokua shule ya msingi , wakinamama wa eneo hilo walikua wanakuja saa nane mchana mpaka saa kumi kufundishwa , ikatokea kijana mmoja mtukutu sana akapaka upupu kwenye madawati , wamama wawatu waliwashwa ndio ikawa. Mwisho hawakuja tena.
Hivyo yawezekana hakuna jipya chini ya jua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.