Recent content by kenna

  1. K

    Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

    Kesi ya kubaka ulaya ni nooma,mmhh alfu ni balozi mhh,taarifa hii ,mmhh .....
  2. K

    Kanisa la Tanzania linapitia kipindi kigumu sana. Mungu alinusuru

    Yesu alikuja kutuokoa na dhambi na SI kuhukumu,hivyo huduma ya kikanisa ni ya Kila mtu bila kuhukumu.kumtenga mtu tena akiwa mfu SI sawa,yesu alitufundishe tusilipize .
  3. K

    Mwakilishi pekee kutoka Afrika aliyekataa kupanda basi ni Rais Sahile Work Zewde wa Ethiopia

    Hakuna BAYA lolote kupamda basi Kwa wakuu wetu wa nchi.
  4. K

    Kenya wanatudharau sana haijawahi kutokea, wadai watanzania walio wengi akili hamna!

    Acha uzwazwa kenya Hamna kitu kabisa njaa Kali.
  5. K

    Kenya wanatudharau sana haijawahi kutokea, wadai watanzania walio wengi akili hamna!

    Acha uzwazwa jisemee wewe mwenyewe ndio mpumb*Vu.
  6. K

    Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

    Timu nzima ya mwamposa boy kutoka dar ilikua inalala bishophouse roman catholic kihesa iringa.
  7. K

    Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

    Nilipokua shule ya msingi , wakinamama wa eneo hilo walikua wanakuja saa nane mchana mpaka saa kumi kufundishwa , ikatokea kijana mmoja mtukutu sana akapaka upupu kwenye madawati , wamama wawatu waliwashwa ndio ikawa. Mwisho hawakuja tena. Hivyo yawezekana hakuna jipya chini ya jua.
  8. K

    Dar: Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA, uamuzi wa rufaa ya kina Mdee, Bobi Wine yupo

    Tindo we na ccm damu damu ha ha hä mambo ya chadema unaongelea ccm
  9. K

    Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania

    Kweli kabisa vyeti feki viko vingi vyuoni kwa kupewa maksi feki na wakiajiriwa wanaonekana ndio wenye vyeti og kumbe fake to the maximūm.
Back
Top Bottom