Recent content by keniTz

  1. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Karibu sana
  2. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Ndio Tukuyu tunatuma mkuu. Huwa tunatuma sana hapo Kasumulu border, hivyo kwa Tukuyu utapata mzigo bila tatizo. Karibu sana
  3. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Sawa mkuu, nashkuru sana kwa pongezi. Naomba unitumie sms whatsap kwenye namba hiyo ya voda uniambie ulipo na tuwasiliane zaidi juu ya namna yakukupatia hizo ulizohitaji. Karibu sana mkuu
  4. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Karibu mkuu tupige kazi
  5. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Hatuna branch Dar ila tunaweza kutuma mzigo ukakufikia popote ulipo
  6. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Bei nimeshaweka hapo juu mkuu. Pia nitakutumia PM
  7. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Upo sahihi mkuu. Pia kila mbegu ina maelekezo yake tofauti, hivyo mteja akinunua mbegu flani ndio tutampa maelekezo yake. Karibu sana pia
  8. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Kabisa mkuu. Wakulima wote waje wajipatie mbegu bora za mbogamboga
  9. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Shukrani sana mkuu. Karibu sana ujipatie mbegu bora za mbogamboga
  10. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Ni kweli bora umnunulie mbegu alime. Nitatuma chart inayoonyesha bei za kila variety
  11. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Nashkuru sana, nitafuata ushauri wako ili wadau wengi zaidi wauone
  12. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Nashkuru sana kwa maoni yako. Katika suala la mbegu, kuna aina kuu mbili za mbegu ambazo ni hybrid na OPV. Hybrid ni mbegu iliyoongezewa nguvu kwa kuunganisha genes za mbegu kadhaa tofauti ili kupata mbegu bora zaidi kwa upande wa uzalishaji, na mbegu hii huoteshwa maramoja tu bila kuirudia...
  13. K

    Mbegu bora za mbogamboga

    Shukrani mkuu. Karibu sana
Back
Top Bottom