Nchi hii Mungu Yuko na anawaona,Kila mtu atavuna alicho panda,yanayo tokea huko yapo njiani, waswahili hunena ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji.ni mda tu.
Mmmh Mzee angalia usije ukajinyonga maana hayo makolokolo ni mengi usitumie nguvu nyingi kutatua vitu vilivyo nje ya uwezo wako mzee,misaada hutoka kwenye ziada wa muhimu ni baba na mama Yako.wengine wale kwa kutumia macho pia punguza kuhonga kwani umeoa watoto wakusingiziwa wa kazi Gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.