Recent content by kengeblue

  1. K

    Kesi ya George Sanga yadhalilisha Mahakama na DPP, Wanaharakati waagizwa kuchukua hatua

    Nchi hii Mungu Yuko na anawaona,Kila mtu atavuna alicho panda,yanayo tokea huko yapo njiani, waswahili hunena ukiona mwenzio ananyolewa zako tia maji.ni mda tu.
  2. K

    PreGE2025 CCM kuzunguka na Msigwa eti kusema mabaya ya Mbowe ni ukosefu wa Hoja na sera. Wananchi tuna Agenda zetu muhimu kitaifa

    Tunaomba mtuletee roboti mtu karibu Msigwa karibu Sumbawanga uje na ile hela uliyopewa na Msukuma,
  3. K

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo adhamiria kutokomeza biashara ya ukahaba

    Mtu mzima na heshima zako unaacha kazi za wananchi unakwenda kufukuzana na ....... Pole
  4. K

    Kutafuta hela kwa njia halali mpaka utoboe ni ngumu kinoma

    Dawa ni kuwa mchungaji nadhani hapo ukichanganya na uponyaji utatoboa.tu.
  5. K

    Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

    Wewe si mwana Chadema ni mpotoshaji,kuna neno baya ningekwambia ila niko kwenye sala.
  6. K

    DOKEZO Mzee Kinana abadilishwe kwa manufaa ya umma

    Mmmh Niko huku,Kigoma nakuja.
  7. K

    Utatu wa Magufuli, Juma Nkamia na Tundu Lissu unamfanya Lissu aonekane ni Mwanamme Jasiri!

    Kwakweli watanganyika yapo mambo hata shetani anatushangaa.pooooleni
  8. K

    Ni lini Tanganyika itaacha kuikalia Zanzibar kimabavu?

    Zanzibar ndiyo imeinywa Tanganyika.Asante uzeni kila kitu kabla hawajamka,wakiamka wakute hata chenji hamna.
  9. K

    Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

    Kumpuuza ki vp wakati hapa kuna Tanganyika na Muungano, Zanzibar iko pembeni na Rais wao.kwa hiyo hapo kuna muungano gani.
  10. K

    Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

    Mmmh Mzee angalia usije ukajinyonga maana hayo makolokolo ni mengi usitumie nguvu nyingi kutatua vitu vilivyo nje ya uwezo wako mzee,misaada hutoka kwenye ziada wa muhimu ni baba na mama Yako.wengine wale kwa kutumia macho pia punguza kuhonga kwani umeoa watoto wakusingiziwa wa kazi Gani...
  11. K

    Tumefunguliwa Kesi Kisa kuzuia kura Bandia, na Mimi nimefungua kesi dhidi ya Askari

    Hapo unapoteza muda wako bure,kwa hiyo ulitaka kushinda.
Back
Top Bottom