"Katika dunia ya sasa, kila kitu kinapaswa kuwa karibu nawe kwa urahisi. Ndiyo maana Bishoo Tanzania inakuletea soko la kidigitali lililotengenezwa kwa ajili yako. Unataka kuuza bidhaa zako, kununua unachohitaji, kupanga nyumba, kubadilishana vitu, au hata kutafuta kazi mpya? Bishoo Tanzania...
Are you serous with your business?
You’re provider of quality Service Ofcourse but nobody recognizes you indeed.
Why don’t you portfolios your hand work online on #bishoo .
It’s free to list your service on bishoo .
Reach millions of clients from different part of Tanzania by listing your ads...
Hilo jina mpaka muda huu limesajiliwa na niliamua kuliita hivyo kwa sababu zangu binafsi…impression ya mtu kwa siku ya kwanza itamuathiri Ila kama huduma zetu zinatakuwa za kuaminika ataendelea kutuamini..labda nikwambie kitu mpaka sasa Mimi na maduka mawili yote nimeyaaita bishoo..moja ni...
Tumefanya mabadiliko makubwa na sasa naona impressions nyingi Asante sana wadau wa jamii forum kwa pamoja tunaweza kukuza mtandao wetu.
Kiukweli nipo na tight budget ya marketing,kama kuna mtu anaweza kunisaiida ata kusambaza kwa magroup anaweza kuwa ametoa msaada mkubwa sana.
Mimi naamini...
Nafanya taratibu na nayachukulla mawazo yenu in positive way..kila kitu nakufanyia kazi ..kwa sasa nimefungua ofsi (physical place ) nadhani itakuwa mwanzo mzuri wa kuyafanyia kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.