Recent content by keneddelly

  1. keneddelly

    Bishoo Tanzania sasa inapatikana Play store

    "Katika dunia ya sasa, kila kitu kinapaswa kuwa karibu nawe kwa urahisi. Ndiyo maana Bishoo Tanzania inakuletea soko la kidigitali lililotengenezwa kwa ajili yako. Unataka kuuza bidhaa zako, kununua unachohitaji, kupanga nyumba, kubadilishana vitu, au hata kutafuta kazi mpya? Bishoo Tanzania...
  2. keneddelly

    Advertise on bishoo for free

    Free listing buying and selling
  3. keneddelly

    Advertise on bishoo for free

    For Android user you can download bishoo tanzania app from this link. Download bishoo tanzania We are on they way to publish it on play store
  4. keneddelly

    Advertise on bishoo for free

    Are you serous with your business? You’re provider of quality Service Ofcourse but nobody recognizes you indeed. Why don’t you portfolios your hand work online on #bishoo . It’s free to list your service on bishoo . Reach millions of clients from different part of Tanzania by listing your ads...
  5. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Hil o o ndio Wazo zuri kaka
  6. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Ahsante sana …nilikuwa naomba msaada kwenye marketing strategies nizitumie…hizo mambo ya jina haina madhara kwa mawazo yangu .
  7. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Hilo jina mpaka muda huu limesajiliwa na niliamua kuliita hivyo kwa sababu zangu binafsi…impression ya mtu kwa siku ya kwanza itamuathiri Ila kama huduma zetu zinatakuwa za kuaminika ataendelea kutuamini..labda nikwambie kitu mpaka sasa Mimi na maduka mawili yote nimeyaaita bishoo..moja ni...
  8. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Tumefanya mabadiliko makubwa na sasa naona impressions nyingi Asante sana wadau wa jamii forum kwa pamoja tunaweza kukuza mtandao wetu. Kiukweli nipo na tight budget ya marketing,kama kuna mtu anaweza kunisaiida ata kusambaza kwa magroup anaweza kuwa ametoa msaada mkubwa sana. Mimi naamini...
  9. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Sawa nimekuelewa ndugu..ushauri wako mzuri
  10. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Account ya jamii forum ninayo muda mrefu sana
  11. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Mimi yangu classified site kila mtu anaweza kupost chochote ata kama una feni yako mbovu nyumbani unaweza kuipost kutafuta mteja mwenye uitaji..
  12. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Nafanya taratibu na nayachukulla mawazo yenu in positive way..kila kitu nakufanyia kazi ..kwa sasa nimefungua ofsi (physical place ) nadhani itakuwa mwanzo mzuri wa kuyafanyia kazi.
Back
Top Bottom