Recent content by KenBayona

  1. K

    Maji ya kipindi cha Nuhu kutengeneza Safina yalienda wapi?

    Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka? Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Back
Top Bottom