Anapaswa atambue kuishi kwetu hapa nchini na duniani tunaongozwa na sheria na Mamlaka za duniani na nchi kwa kufuata katiba,hivyo anapashwa kutambua huwezi upuka siasa kwa namna yoyote ile maisha ya kila siku ni siasa.tumemwelewa mchumia tumbo,kabla ya jogoo kuwika mara mbili utakuwa umenikana...
Ndipo turudi kwenye point ya msingi iweje mwanasiasa kama diwani,DC na RC elimu ya darasa la saba kuwaongoza watu wenye profession zao.Nabado sana anayokazi kubwa sana ya kukemea.amehamua kubomoa kwa mikono na kinywa chake.sasa itamugharimu pia kujenga.
We unasema mbowe mbona Trump mwenyeww hakulipa kodi miaka kadhaa na still tupo kwenye kiti cha uraisi marekano.mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.tunataka amani sio kituchafulia amani angalia sasa kinachoendelea huko kibiti.wanaume wanakimbia nyumba zao wakihofia kukamatwa.kwanini ifikie huko?
Jamani watumikieni wananchi nasio kitafuta kiki.kwani wapinzani ni mara ngapi wameomba kukutana nae na asiwape nafasi?mie naona mwache aendee kuwa mfalme jozi.kwamba ni wa gharama sana.binadamu tu mavumbi na mavumbini tutarudi. Hakuna aliyebora zaidi ya mwingine machoni pa mungu. Madaraka,Jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.