Recent content by Kemby

  1. Kemby

    Carina Ti Inahitajika

    Habari wakuu, mwenye gari tajwa hapo juu na anaiuza basi awasiliane nami, budjet yangu ni 6m, iwe katika hali nzuri na haijawah kupata ajali, hela ipo cash, biashara leo leo. namba ikiwa B itakuwa poa zaid.
  2. Kemby

    Haya sasa kuna POLYAMORY...KUMBE....

    Ishafika The Boss, Isome hapa imetokea Kigogo jana kwenye Heka heka wameiibua:- http://swahilione.blogspot.com/2013/11/mke-aishi-na-wanaume-wawili-ndani-ya.html
  3. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Nimepewa Mbinu na Mtu humu ndani nimeona bora niitumie hiyo, imekaa hivi; niliamua kushuka Tabata aliposhuka yule bi mdada mzuri na gari likaondoka na yule niliyekaa nae, wakati namkaribia akaja kupokewa na Mpenzi waka kiss na hugs sana tu, mtu mzima nikarudi nyuma kusubiri gari niende zangu...
  4. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Kweli si king'aacho dhahabu, hata angekuwa mwanaume anahitaji msaada na mimi nipo katika nafasi ya kumsaidia namsaidia tu, kuhusu kwenda kuzimu wote tutaenda na kama ikifika zamu yangu sitakuwa na ujanja, so siwezi kuacha kusaidia pale nnapoweza kwa kuogopa kwenda kuzimu, kwani wewe tangu...
  5. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Imagine Dina ungekuwa ni wewe unahitaji msaada wa kusindikizwa saa 4 yaa usiku na ukakosa msaada kwa kuwa wanaume hawana hizo shingo za kuku ungefanyeje?!! Kwa kumsaidia nimekuwa na shingo ya kuku, je ningemwacha aende mwenyewe kesho nikamuona katika gazeti amebakwa hadi kufa ningejiskiaje...
  6. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Tatizo hiyo ratiba ya hivyo ndugu yangu Baba V, mm nna mambo yanibana na Weekend ndo nafasi ahalafu mara nyingi nakuwa Naendesha mwenyewe, yaani ile ilikuwa Boonge la Coincidence.
  7. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Mkuu Blue G without hiyo Crush Upendo utatoka wapi?!! na ndo maana kuna Love at First Sight, U Crush, Feel na Response ya Upande wa Pili ndo inaleta Bond ya Love kwenu nyie wote, yaan ni sawa na kupenda bila kutamani, haiwezekani, usichokitaman huwezi kukipenda.
  8. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Haya nimekuskia mamamdogo lakini nahisi ni yeye tu ndo the one, kama alikuwa jini basi Mungu kaniepusha na Jambo.
  9. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Analipa, Mzuri sana tu, amesoma na ana maisha yake kimtindo, ila hakuwa moyoni, nimeagana nae kama rafiki wa kawaida na kumweleza ya kwamba kwa vile nshapajua ofisini kwake siku yoyote naweza enda mtembelea naye akasema haina shida and that was it. maana kuanzia Buguruni kila mtu alikuwa...
  10. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Analipa, Mzuri sana tu, amesoma na ana maisha yake kimtindo, ila hakuwa moyoni, nimeagana nae kama rafiki wa kawaida na kumweleza ya kwamba kwa vile nshapajua ofisini kwake siku yoyote naweza enda mtembelea naye akasema haina shida and that was it. maana kuanzia Buguruni kila mtu alikuwa...
  11. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Huyu niliyemsindika ofisini sina tatizo nae, nilimpa escort kiungwana na thats it, namimi wala si womanizer kivile na siendekezi Ngono thats why nilimheshimu na kumsindikiza salama na kurudi salama bila kuambiana lolote la kuvunjiana heshima.
  12. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Alikuwa Binadamu Mkuu na hakuwa na kwato kaka, yaani binadamu tu mkuu, asante kwa angalizo lakini?!!!
  13. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Huku MMU mkuu hayo mengine yako, unahisi una haki ya kunikumu kama ni Pepo au hisia za ukweli, ingekuwa Pepo ningeforce na huyu wa kwanza ambaye alionesha interest zote nami na hadi nikamsindikiza kurudi ofisini lakini njia nzima sikuongea jambo la upuuzi wala kumvunjia heshima, jiangalie mkuu.
  14. Kemby

    Mrembo Uliyeshuka Tabata saa Nne Usiku Umeondoka na Moyo wangu, Ntakutafuta Daima!!!!

    Hapana sikuwa namjua, aliniomba nimsaidie maana alihofia usalama wake kurudi nyuma peke yake usiku ule, nikamuuliza anajuaje kama nami si walewale, alinipa maelezo fulani ya kunipa imani maana hata mimi nilikuwa namuogopa ila haikuwa mara ya kwanza kuwasaidia wadada kama hawa kwani nilishawahi...
Back
Top Bottom