kimsingi nadhani imefika wakati ambapo watu husani viongozi wanatakiwa kutatua matatizo ya watu kwa maono ya mbali. nadhani ni pande zote zina wajibu wa kukaa na kuangalia ni vipi suala hili la wamachinga linatatuliwa kwa manufaa ya wamachinga wenyewe,halmashauri na taifa kwa ujumla. wamachinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.