Wewe ni doctor? Usipende kusikiliza maneno ya watu na ukaanza kuropoka ilihali huna uhakika na unachoongea. Lowassa alishasema kama mtu ana wasiwasi na afya yake waende wakapime.
Duuu!, Nakuonea huruma maana unaweza ukaonekana na magonjwa mengi kuliko unavyofikiria na huyo Lowassa akawa safi...
Safi sana kijana nimeipenda hii na hongera sana kwa utashi na upeo mkubwa sana kwa kuchambua mambo vizuri, ni kweli kabisa kuwa Lowassa ni kiongozi mkubwa na ana mali nyingi sana na kwasababu watu wanajiuliza kapata wapi hizo mali zote, ukweli umeshajulikana na mi nadhani ndiyo maana huwa...
Wewe ndiyo hujui lolote kuhusu haya maswala, yaani wewe ndiye utakaeenda kuchunga ng'ombe mwezi wa kumi wakati Lowassa aneyoyoma kwenda Ikuyu, utaelewa tuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.