Co kosa la chadema ila wamechanganyikiwa kwa uroho wa madaraka. Watu wazima mnatukana tu ovyo, tumieni akili co nguvu wakati wa kutumia nguvu umepita. Na hamtashinda kamwe! Wakujinyonga mjinyonge mapema watanzania hawadanganywi kwa kelele za malalamiko na vurugu. CCM itaendelea kuongoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.