Hata symbol ya Copper kuiandika ni shida! Sasa utaanzaje kumwamini Lissu, mwanasheria anayeogopa kushtakiwa!! Au ndo wazee wa kuzunguka mbuyu wamemwahii?!!!
Sababu ni ikithibitika kanuni , taratibu na sheria zinakiukwa (mtu anaendesha bunge kwa moody, mathalani unanuniana na mwenza hasiraunaleta ofisini, mtoto anafanya vibaya darasani hasira unaleta ofisini!! Sasa ni kifanyike kama sio impeachment!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.