Tunafanya makosa makubwa sana kununua mifumo nje,wanaotuuzia mifumo ndo wansoshirikiana na viongozi kutoboa mifumo.
Ni vyema kutumia vijana wetu tuwape uwezo watengeneze mifumo.
Alafu wawe chini ya uangalizi maalumu maisha yao yote.
Intelligencia ya nchi inapaswa kuwekeza kwenye hili eneo la...
Waziri Makamba amesema wanakuja na mradi wa Dola billioni 1.9 kutatua tatizo.
Nauliza huu mradi ameukuta ofisini au umebuniwa ndani ya hii miezi yake 4.
Kama hajaukuta umepitishwa na bajeti ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.