Kwenu ni mtu wa maana, huku Kenya akina Kimani, Farmaajo na Ongusu wanampiku.
Hawezani na wakikuyu,somali ama wakisii katika biashara. Tunatambua waarabu wenu pekee
Eastlands is the heartbeat of the whole of EAST AND CENTRAL AFRICA.
Hakuna pengine kama hapa ukanda wetu. Hata hio Dar es sluuuuum haifiki. Jiji lenu la mabanda na matope.
Hii hapa Kayole,Umoja,Donholm...hata hizo dandora,Kawangware,Mathare na Huruma zafanana
Huyu jamaa anaitwa geza unibamba tu sana😂😂😂
Jamaa kwani analipwa ngapi na CCM to constantly spew hate towards Kenya.
Msela, have you ever travelled outsided Tz? Geza Ulole
SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
Unabishana na mafala hawaelewi protocols zozote za waAmerikani au CIA missions.
Wanasoma news za NewYork Times who peddle umbea kama za bongo. Bado hawajui kuna Camp Simba ambapo wanajeshi wanaishi and Manda airfield.
Kdf did not have any aircraft at the airstrip, zilikuwa za CIA na NIS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.