Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Hill andiko maana yake asiyejua maana usimpe maana atakumaliza.
Mpila ni Ibada ( Dini) kabisa ya kuzimu ndio maana nyuma yake kuna kamali...
Inabidi ujue ukweli na lengho sio kufuraisha watu Mungu anatumia mtu mmoja kumaliza tatizo ndio maana nimeweka wazi kuwa ninachokisema ninauakika nacho sio kubahatisha.
Mambo ya teolojia, sayansi ya siasa wala Mungu hayapo huko na mambo ya .Mungu hayafundishwi!
Tatizo kubwa la hizi imani tulizo...
Siku zote mtu mnafiki atakwambia unachotaka kusikia bala mtu mkweli atakwambia ukweli tu na wewe daka hiyo itakusaidia.
Yesu alisema sikuja kuleta Amani bali upanga kumfitini baba na mtoto ikimaanisha kuwambia Wayaudi ukweli na wakamchukia
Inabidi ujue ukweli na lengho sio kufuraisha watu Mungu anatumia mtu mmoja kumaliza tatizo ndio maana nimeweka wazi kuwa ninachokisema ninauakika nacho sio kubahatisha.
Mambo ya teolojia, sayansi ya siasa wala Mungu hayapo huko na mambo ya .Mungu hayafundishwi!
Tatizo kubwa la hizi imani tulizo...
Na kumbuka anaposema mkamate sana Elimu aimaanishi Elimu Dunia ya Bachelor , masters, Doctor, PhD, na professor hapana anamaanisha mkamate sana Roho mtakatifu yeye anakupa uzima in everything you deliver
Mithali
29 Usiwaze mabaya juu ya jirani yako, Ambaye anakaa karibu nawe na kujiona salama.
Tatizo wewe unaenda kwa historian wakati maneno ya Mungu hayabadiriki. Imendikwa pasipo na Roho sisi hatuwezi lolote. Ukikataa kuwa wa Rohoni then your nithing
NARUDIA TENA KWA ELUFI KUBWA, NCHI PEKEE INAYOWEZA KUMALIZA HAKO KAMGOGORO CONGO NI TANIZANIA.
HII NCHI KWA SASA INAUWEEZO WAKUTATUA MGOGORO WOWOTE KATIKA TAIFA LOLOTE IKIAMUA NA KWA SASA RAIS SSH NDIYE RAIS MWENYE NGUVU DUNIANI!!!!!
NAJUA MTABEZA NA KASHIFA NYINGI LAKINI UKWELI NDIO HUO...
Sir you need to get your self together and stay focused
Huwezi kuishi katika hii dunia kama ujaewekeza Rohoni vya kutosha, and there is no shortcut ndio maana imeandikwa wataukumiwa kwa sheria zao hata wasio ijua sheria watapotea pasipo na sheria
Warumi 2:
Yesu alisema wasamee kwa kuwa hawajui watendalo..
Andika tarehe ya leo for your refference, Taifa la Tanzania kwa sasa na Milele ndio Taifa lenye nguvu Duniani na bado kitambo kidogo mataifa yataanza kusalimu hamri.
Kuanzia leo elewa kuwa shina kubwa la mateso ya kila namna ni kujizalau...
'Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Kumbe issue sio Taifa ni watu wake kukosa maharifa ikimaanisha kumkosa Roho Mtakatifu.
Hata Yesu walimuita kichaa anawazimu maana aliongea vitu vipo juu ya uwezo wao wa kufikiri as a result akawaacha na kuchagua taifa lingine.
Ni shida kubwa sana kutokujua Elimu ya Mungu hakuna anayeweza kukusaidia and it becomes a nightmare
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.