Recent content by kbo

  1. K

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Samahani je unaweza ukawa na mawasiliano yao yaani nikimaanisha namba ya simu
  2. K

    Madaktari nisaidieni: Ugonjwa gani huu!

    Au jaribu ku google "reflux esophagitis" utapata ufafanuzi kama tatizo linafanana au la
  3. K

    Madaktari nisaidieni: Ugonjwa gani huu!

    I Nashukuru kwa kua upo hewani tushauriane maana mimi nipo nyumbani..nina sumbuliwa na tatizo kama hilo..nimefanya vipimo ninavyo na nimeshalielewa japo treatment bado ngumu.na kupa namba nipigie
  4. K

    Khabari za Uhakika,Tb Joshua Products

    Ningependa kujua wandugu..kuna mawakala wangapi wa Tb Joshua hapa dar..ukiacha yule wa benjamini tower
  5. K

    Khabari za Uhakika,Tb Joshua Products

    Tafadhali ndugu nitaarifu nami kama utapata anayekwenda huko
  6. K

    Msaada JF..napata shida kumeza chakula

    Miezi kadhaa sasa imepita..napata maumivu makali sana mgongoni na chini ya kifua hasa nikiwa nakula..nahisi chakula kama kinatonesha kidonda...nimezunguka hospital nimefanyiwa kipimo endoscope..majibu nina reflux esophagitis nimejaribu dawa za hospital bila mafanikio mwezi wa saba huu..msaada...
  7. K

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Nimepimwa kwa kipimo cha endoscopy nikakutwa ninavidonda kwenye ungio kati ya tumbo na mrija unaochukua chakula toka mdomoni dalili zake ni kichefuchefu asubuhi maumivu kifuani mpaka mgongoni.
  8. K

    Tatizo la Muwasho Sehemu za Siri: Chanzo, Matibabu na Namna ya Kujikinga

    Kweli hujakosea mimi binafsi imeshaniathili kiuchumi na kisaikolojia...eeh namuomba Mungu kila siku ayafute machozi yangu kwani yaliyonitokea hata siammini katika maisha yangu...haya magonjwa mengine ni kutubu kwani Mungu anajibu naamini.
  9. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Asante sana kwa ushauri..Mungu awe nawe
  10. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Labda mnijuze uondoaji wa hizi warts ndio utaondoa hii miwasho
  11. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Nashukuru coz unaonyesha ushirikiano...ndio maana nasema baada ya warts kutokea nikajua kua ni enfection ya virus sio bacteria...HPV ninavyojua haina kipimo zaidi ya kuona warts ndio unaweza jua kua upo effected..mimi me..nina warts kwenye ngozi ya pumb...nahisi miwasho mikali mpaka...
  12. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Mkuu nashhukuru sana...hii kitu imenitesa sana kabla warts hazijatokea madoctor wamenipa sana untibiotic bila mafanikio...sasa ndio nimegundua kua ni enfection ya HPV nini tiba yake kundoa miwasho...mbona madoctor wananipa tu untibiotic zisikua na mafanikio?
  13. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Kweli unachoongea na ndio ninachokihisi mpaka sasa....nishauri cha kufanya mkuu
  14. K

    Madaktari na wana ndoa naombeni msaada

    Nashukuru sana kwa maelezo.....lakini huu muwasho mkali ninaoupata mapajana mpaka sehemu za siri unasababishwa na hizi warts au ni kitu kingine?
Back
Top Bottom