Recent content by kazubhazu099

  1. kazubhazu099

    Baada ya EU, Serikali ya Marekani nayo yaugeukia utawala wa Rais Magufuli

    Kinacho nishangaza ni pale watu kuyajua sana mabaya tunayosemwa nje kuliko kuyajua mazuri tunayoyafanya hapa ndani.
  2. kazubhazu099

    Kumbe Vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo vina masharti magumu kiasi hiki(?)

    Daa wataz wanakera kwelikweli ,mungu tuondolee sasa za maji takes hizi
  3. kazubhazu099

    Kumbe Vitambulisho vya Wafanyabiashara wadogo vina masharti magumu kiasi hiki(?)

    Tunashukuru mkuu kwa kutuelewesha ,ft tutafuata mawazo yako
  4. kazubhazu099

    Sakata la korosho: Jinsi wakulima wanavyodanganywa na Serikali

    Jitahidi kumpinga mkuu atakuona,atakutafutia kijinafasi na wewe ukale mafuta
  5. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Mapinduzi ya kiislamu ya mwaka 1979 yaliyofanywa na wananchi wa Iran yaliwachukiza sana wamarekani pamoja na wamagharibi kilichofuata ni mlolongo wa vikwazo kwa taifa la Iran ,tangia hapo wananchi wa Iran wamekuwa wakiishi na vikwazo mpaka Leo lakini wameweza kulifanya Taifa lao kujitegemea kwa...
  6. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Kwa mujibu wa mtandao wa pars today wanajeshi hawa wanahudumu katika manuali ya usa ktk bahari ya ghuba ya uajemi wakawa wanagea katika mipaka wa bahari ya Iran ndipo wanajeshi wa Iran walipowateka lakini baadaye waliepa taarifa wakuu wa marekani mazunumzo yakafanyika wakaachiwa baada ya wiki...
  7. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Kuna wanajeshi wa marekani walijaribu kusogelea manuali za Iran wakatekwa na walinzi wa mapinduzi ya Iran
  8. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Mkuu usiishi kwa kukalili,kunamabadiliko makubwa sana hivi sasa ndani ya ulimwengu huu hasa kwa nchi zinazojitambua vita vinavyotokea ,vinavyoanzishwana na wababe vimewafanya watu kujiuliza maswali mengi
  9. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Nimejaribu kuiangalia Iran uwezo wao wa kiulinzi ni mkubwa sana wameweza hata kuifukuza marekani katika bahari ya ghuba ya uajemi ,na hivi karibuni wameweza kutengeneza ndege bora kabisa ya kivita ,inasemekana ndiyo ndege bora kuliko hata F35 ya USA na SU 57 ya Russia imeundwa kwa asilimia 100...
  10. kazubhazu099

    Wana JamiiForums huu mgogoro wa Marekani na Iran utaisha lini,na kwanini Marekani inashugulishwa sana na Iran kuliko nchi nyingine?

    Mwenye kujua zaidi anisaidie nimekuwa nikipata shida sana na jambo hilo.
  11. kazubhazu099

    Undani wa Zitto Zubeir Kabwe

    Namfananisha na kiongozi mkuu wa taifa la Iran anayeihangaisha marekani na ulaya ameifanya Iran kuwa Taifa lenye nguvu kijeshi,kiuchumi,na kiteknologia,marekani hivi sasa inahangaika na vikwazo visivyotekeleka kwa ajili ya kuizuia Iran isisonge mbele,bahati mbaya imechelewa pia imesahau kama...
Back
Top Bottom