pilipili+chumvi+Limao=Moto,unataka kuumiza watu mzee,mbona hujataja factors kama contraindication au side efect,kiasi cha dose na muda wa matumizi,dose ikizidi hatua gani unachukua,matumizi kulingana na condition za mtumiaji mfano mtu mwenze alergy inakuwaje,Hapo hujanipata mzee ingawa yangu ni...